24.Jun.2012 Sauti za Bongo: Stereo
25.Apr.2012 Sauti za Bongo: Nikki Mbishi
13.Apr.2012 Stereo anawasilisha Swahili
Tunaendelea kuvunja ukimya baada ya kupotea hewani kwa wiki kadhaa kutokana na shughuli za kuhamisha Maabara. B-Boy Stereo ana mengi mno ya kusema, na ameamua kutumia mistari yenye sura mbaya kama Nduli Iddi Amin kuwasilisha “Swahili”. Ni hadithi za kitaa. Labda umeshayaona au unaendelea kuyaona kila siku, lakini sio kama vile jicho la Stereo linavyoyaona. [...]
26.Mar.2012 Young, Gifted and Black
Baada ya ukimya wa miezi kadhaa, kupisha Sauti ya Jogoo isikike kila kona ya dunia, Mzawa wa Tanzania, One aka Moko wa Miujiza anaanza kupiga Soga rasmi wiki hii. Ingawa bado ni kijana, ana mengi ya kutuambia kuhusu safari yake ya maisha na sanaa ya Hip Hop. Sasa hivi ni mtu mzima, anatambua dunia ni [...]
02.Mar.2012 The Element Mixtape Vol 1 – Free Download
Duke Tachez presents The Element Mixtape Vol 1… for FREE! Click here to get yours!





